Trilioni 4 kutatua changamoto ya umeme kukatika ovyo.

Shirika la umeme Tanzania (Tanesco) linatarajia kutumia trilioni 4 kwa ajili ya kuweza kutatua changamoto ya umeme kukatika ovyo ikiwemo kununua transfoma imara,mita za umeme pamoja na ununuaji wa nguzo.Kaimu Mkulugenzi huduma kwa wateja Martin Mwambene Amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu utekelezaji wa majukumu ya shirika la umeme Tanzania